Monday, June 17, 2013

WATOTO KATIKA UTUME

MTOTO GASPER AKIOMBA KWA IMANI BAADA YA KUPOKEA EKARISTI

MAANDAMANO YA EKARISTI


PICHA YA PAMOJA NA BABA ASKOFU

WATOTO WALIOMWAGA MAUA WAKIONGOZWA NA TEDDY


BWANA NA BIBI PHILLIP MUZE WAKIFURAHIA USIKU ULIOANDALIWA KWA A

MUANDAAJI NA MENEGING DIRECTOR AKIWAPONGEZA BW NA BI PHILIP MUZE


MARAFIKI WA BW. HASUSI KUTOKA USA WAKIPOZI KATIKA PICHA YA PAMOJA NA MAHARUSI

MJOMBA WA BWANA HARUSI(ALIYEINAMA KUSHOTOAKIFURAHIA JAMBO NA WANANDUGU



PONGEZI MBALIMBALI

SINGLE LADIES WALIKUWEPO

WAGENI WAALIKWA

VINYWAJI TIME


Saturday, June 15, 2013

Harusi ya Bw. Philipo Muze na Bi. Mwinga Mungwe

[
Mmoja wa viongozi waandamizi wa mtandao wa Thehabari.com, Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni. Pichani wakiwa katika mapozi ya picha kwenye viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

 
Bibi harusi Mwinga Mungwe akiwa katika picha ya kumbukumbu na mamae mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni.

Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe wakipiga picha na baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki baada ya kufunga ndoa yao katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni.

 
Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe wakiwa katika picha na babu wa bibi harusi.

 
Bibi harusi Mwinga Mungwe akiwa katika picha ya kumbukumbu na mamae mara baada ya kufunga ndoa katika Kanisa la KKKT-Azania Front leo jioni.

Bw. Philipo Muze akiwa na mkewe, Bi. Mwinga Mungwe wakiwa katika picha ya ukumbusho na ndugu wa pande zote.

 
Bi. harusi, Mwinga Mungwe

Baadhi ya ndugu wa karibu wa bwana harusi

 Bw. Philipo Muze akiwa katika pozi

Saturday, December 29, 2012

Catherine Masumbiga Mwanamitindo Bora 2012

div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
Mwanamitindo bora wa mwaka 2012 Catherine Masumbiga (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Unique Model Photogenic Elizabeth Pertty (kushoto) na Unique Model Talent Vestina Charles mara baada ya kutangazwa kwa mshindi.
Mwanamitindo wa mwaka 2012 Catherine Masumbiga (katikati) amepatikana jana usiku kwenye shindano lililofanyika kwenye Klabu ya New Maisha jijini Dar es Salaam akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa pili Cesilia Michael (kushoto) na mshindi watatu Amina Ayubu.




Washiriki waliongia tano bora.
Washiriki waliongia tano bora.
Majaji wa shindano hilo kutoka kushoto ni Gymkhana Hilal kutoka Paka Wear , Asia Idarous na Martine Kadinda.
Unique Model Talent of the year 2012 Vestina Charles akionyesha uwezowake wa kucheza jukwaani.
Wakitumbuiza mashabiki mapema kabla ya kuingia kuonyesha mavazi ya aina mbalimbali.
Washiriki 12 wa shindano hilo wakiwa wamejipanga tayari kusubiri kutangazwa mshindi.

Sunday, December 23, 2012

Happybirthday Sarita Swaleh

Keki kwa Shampeni ikiwa ndani ya eneo la tukio hapo wakati wa sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa Mdau Sarita Swalehe


Sarita Swaleh akikata keki tayari kuwalisha baadhi ya marafiki waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika nyumbani kwao Kijitonyama
 Akimimina Shampeni tayari kwa kuwapa rafiki zake kipenzi waliohudhuria hafla fupi ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake
 Sarita Akimlisha Keki mmoja wa Wadogo zake 
Sarita Akimlisha Keki Mmoja wa Rafiki zake waliohudhuria hafla hiyo ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake nyumbani kwao
Muda wa Maakuli sasa kila Kitu kilikuwa Kujisevia


Hapo Vinywaji kwanza vikitembea
Baadhi ya marafiki waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika nyumbani kwao Kijitonyama
Sarita Swaleh akiwa katika Picha ya Pamoja na baadhi ya rafiki zake waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika Jana nyumbani kwao

Picha zote kwa hisani ya Lukaza Blog

Wednesday, December 5, 2012

Harusi ya Amrad Charles Mlowola na Edina Aminiel Mzirary

Harusi ya Amrad Charles Mlowola na Edina Aminiel Mzirary.
Ilifanyika Kanisa: CCT UDSM Chapel, Oktoba 13, 2012.
Tafrija ya Pongezi ilifanyika: Hellemic Club Dar es Salaam.


 Harusi ya Amrad Charles Mlowola na Edina Aminiel Mzirary


 Bwana Harusi Amrad  Mlowola akipozi na mkewe Edina muda mfupi baada ya ibada ya ndoa yao

 Bwana Harusi Amrad  Mlowola pamoja na Biharusi Edina Aminiel wakiingia kanisani kufunga ndoa yao

 Katika poziiii..!

 Hapa ni katika pozi na wazazi wa bi. harusi

Maharusi wakipiga picha na mapambo yao

 Ukumbini Hellemic Club

 Wazazi wa Bwana Harusi, Bwana na Bibi Charles Mlowola wakiingia ukumbini

 Wazazi wa bwana harusi

Picha za kumbukumbu na wazazi na ndugu, jamaa na marafiki..!